Ubuyu mweupe wa sukari
Ubuyu mweupe wa vanilla unaofahamika kama munna Ubuyu. Huu ni ubuyu mtamu unaweza kuliwa na wanawake na wanaume pia, wakubwa kwa watoto.Pamoja na Sifa hiyo, aina hii ya ubuyu ndio hasa inayopendwa na wanaume wengine.
Mahitaji
Ubuyu kopo moja la Lita Tano
Sukari kg 3
Vanilla Unga wa ubuyu kg 1
Maji gilasi 3
Namba ya kutengeneza
Chukua sukari changanya na maji kisha injika jikoni. Acha sukari ichemke na iive . kisha ipua na weka chini. Weka vanilla matone machache. Mimina ubuyu kwenye sufuria yenye shira na endelea kukoroga. Fanya hivyo hadi uchanganyike vizuri. Anza kuweka unga wa ubuyu hadi ubuyu wako ujishike vizuri. Ukishajishika chukua ubuyu wako weka kwenye beseni na funika na kitambaa cha jinja.Acha hadi upoe. Na hapo utakuwa tayari kwa kulipa.
Mahitaji
Ubuyu kopo moja la Lita Tano
Sukari kg 3
Vanilla Unga wa ubuyu kg 1
Maji gilasi 3
Namba ya kutengeneza
Chukua sukari changanya na maji kisha injika jikoni. Acha sukari ichemke na iive . kisha ipua na weka chini. Weka vanilla matone machache. Mimina ubuyu kwenye sufuria yenye shira na endelea kukoroga. Fanya hivyo hadi uchanganyike vizuri. Anza kuweka unga wa ubuyu hadi ubuyu wako ujishike vizuri. Ukishajishika chukua ubuyu wako weka kwenye beseni na funika na kitambaa cha jinja.Acha hadi upoe. Na hapo utakuwa tayari kwa kulipa.
Kitambaa Cha Jinja ndio kipoje na Shira ndio nn
ReplyDelete