Nyama ya kukunja
Mahitaji
Nyama ½ kg
Mayai 5 (manne yachemshe)
Ndimu 2
Chumvi kiasi
kitunguu saumu
punje tatu
Pilipili kiasi (menya kata)
Namna ya kupika
Changanya nyama na
tangawizi na thomu na pilipili
Weka karatasi juu
ya kibao, tandaza nyama na panga mayai juu yake
Kunja karatasi na
wacha nafasi pembeni na funga uzi
Injika chuma tia
samli na kaanga halafu yake geuza kila upande kwa upesi
Ipua na weka ipowe na kula, kata kwa kiasi
Comments
Post a Comment